MAWASILIANO 0788605529
GUNDUA NJIA MPYA YA KUTIBU NA KUDHIBITI SUKARI
Tiba imara na bora
TAZAMA VIDEO YA MTAALAMU HAPA CHINI
Bonyeza kitufye cha kutoa sauti ili usikie
BEI ZA PUNGUZO

Karibu
JAZA TAARIFA ZAKO HAPA CHINI KUPATA DAWA

CUSTOM JAVASCRIPT / HTML
Kisukari ni hali ambayo hutokea wakati sukari katika damu inapokuwa nyingi kupita kiwango cha kawaida kwa muda murefu.

Ugonjwa wa kisukari husababishwa na kongosho kutoweza kutoa kiwango cha insulini mwilini kinachofaa. Pia yaweza kuwa mwili haufanyi kama unavyotarajiwa kufanya insulini ikifika sehemu ile ya mwili.

Kuna aina tatu za Kisukari:
1-Moja ni wakati kongosho imeshindwa kutengeneza insulini kiwango kizuri cha kudhibiti sukari mwilini
2-Aina ya pili ni wakati mwili unakataa kudhibiti sukari hata insulini ikitengenezwa na kongosho
3-Aina ya tatu ni bolisukari ambayo huathiri wanawake wajawazito ambao hupata kwamba kiwango cha sukari miilini mwao kimekwenda juu hata kama hawana historia ya aina hii.

Dalili za kisukari ni

kukojoa kupita kiasi cha kawaida
kiu kubwa
kuona vibaya na matatizo ya macho hadi kuwa kipofu
kuchoka haraka
vidonda vinavyopoa polepole mno, hasa kwenye miguu, hadi kupotewa na viungo

ZINGATIA:Kila box lina pakiti 20, na TUNAFANYA FREE DELIVERY kwa DAR UNALETEWA HADI ULIPO NDIO UNALIPA na mikoani tunatuma kwa uaminifu wote popote ulipo(kwa utaratibu salama Kabisa).

Matumizi : 1x2 pakiti moja asubuhi na jioni kwenye kikombe cha MAJI ya MOTO

ANZA KUTUMIA LEO 
Powered By ClickFunnels.com